I made this widget at MyFlashFetish.com.

Thursday, May 6, 2010

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR

Tume ya Uchaguzi Zanzibar –ZEC yasisitiza hairudii Zoezi la Uandikishaji
Tume ya Uchaguzi Zanzibar-ZEC, imesema hairudiii zoezi la uandikishaji bali inawashughulikia kwa kuwabadilishia shahada wale waliojiorodhesha kwa wakati ule wa awamu ya kwanza na wakiwa katika mchakato wa kupata Vitambulisho vya Mzanzibari Mkaazi.
Akizungumza na Mwangaza wa habari,afisa habari wa Tume ya uchaguzi Zanzibar , Maalim Idrisa Haji Jecha amesema ni baada ya kutokea malalamiko kwa baadhi ya vyama vya Siasa hususan kisiwani Pemba. Bonyeza HAPA kusikia

No comments:

Post a Comment