I made this widget at MyFlashFetish.com.

Tuesday, May 4, 2010

ETI KWELI MAKADA WA CCM HAWAUNGI MKONO SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA?


Baada ya maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa kati ya rais Kaume na Maalim Seif Sharif Hamad kumekuwa na tetesi kuwa makada wengi wa CCM hawaungi mkono serikali ya umoja wa kitaifa,jee suala hili niu kweli au sio kweli?
Nyota matukio ilipata nafasi ya kuzungumza na spika mstaafu wa bunge la Afrika mashariki na mjumbe wa kamati kuu ambae pia ni mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM Abdulrahman Kinana ambae amesema kuwa CCM inaunga mkono mardhina yenye lengo la kujenga umoja,mshikamano na undugu miongoni mwa wazanzibar.
Katika mahojiano na Nyota matukio Bw Kinana alianza kwa kuzungumzia juu ya mtazamo wa chama chake cha CCM juu suala la muafaka ,anasemaje Bonyeza HAPA kumsikia Abdulrahman Kinana..Akizungumzia .Serikali ya umoja wa kitaifa Zanziba

No comments:

Post a Comment