I made this widget at MyFlashFetish.com.

Sunday, May 23, 2010

DAR ES SALAAM:

Wakaazi wa mkoa wa Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi katika vituo vya kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ikiwa ni awamu ya pili ya kazi za uimarishaji wa daftari hilo.
Kazi za undikishaji hizo zimeanza leo na zinararajiwa kumalizika kesho katika vituo vyote vilivyotengwa kwa shughuli hiyo.
Jumla ya vituo elfu 24, 813 vimepangwa kutumika katika awamu ya pili ya undikishaji wa wapiga kura katika mkoa wa Dar es Salaam.
Awamu ya kwanza ya uandikishajiwa wapiga kura katika mkoa wa Dar es Salaam ilifanyika Marchi 22 kwa muda wa wiki moja na baadae kuongezewa siku mbili kutaokana na kazi hizo kukumbwa na kasoro kadhaa.

No comments:

Post a Comment