I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, May 7, 2010

MVUA YA JANA NI BALAAA


Mvua kubwa zilizonyesha nchini jana zimesababaisha maafa makubwa kwa wakaazi wa mjini na vijijini,miongoni mwa sehemu zilizoathirka na mvua hizo ni pamoja na kijiji cha Mchangani ambapo iliripotiwa kuwa baadhi ya nyumba zilijaa maji na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wananchi.
Kufuatia hali hiyo Mwangaza wa Habari ulimtafuta Waziri wa nchi ofisi ya waziri kiongozi ambapo ofisi yake ndio inayosimamia kitengo cha maafa nchini ambapo amewataka masheha kuripoti kwa wakuu wa wilaya na kamati zao ili wananchi waweze kusaidiwa Bonyeza HAPA kumsikia Mh warizi

No comments:

Post a Comment