I made this widget at MyFlashFetish.com.

Sunday, May 23, 2010

DAR ES SALAAM

Waziri wa fedha na uchumi Mustapha Nkulo amesema mkopo wa Tanzania kutoka benki ya Stanley ni sehemu ya fedha zinazohitajika kuziba pengo baada ya washirika wa maendeleao kupunguza kiasi kikubwa cha fedha.
Waziri mkulo amesema hayo alipokuwa akitoa ufafanuzi wa matumizi ya fedha za mkopo wa dola za Marekani milioni 250 kutoka benki hiyo baada ya nchi hizo kupunguza misaada ya bajeti ijayo ya serikali ya Tanzania.
Nchi wahisani zimepunguza zaidi ya shilingi bilioni 220 kutoka bajeti ya serikali ya mwaka ujao wa fedha na kuifanya serikali kutafuta mikopo kutoka taasisi nyingine za fedha zitakazosaidia kuziba pengo hilo.

No comments:

Post a Comment