I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, May 7, 2010

CHADEMA


Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHDEMA kimesema kuwa kilitarajia kufanya maandamano makubwa ya wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Dar es Salaam, leo lakini maandamano hayo yamezuiwa na Polisi kutokana mkutano mkuu unaendelea jijini Dar e es salaam unaowahusisha viongozi wa kuu wan chi mbali mbali.
Akizungumza na Mwangaza wa Habari Mkurugenzi wa mambo ya nje wa chama hicho Mwenyekiti wa Mkoa wa kichama wa Kinondoni Kanda Maalum Dar es salaam na John Mnyika amesema kuwa lengo la maandamano hayo ni kuunga mkono madai ya TUCTA ambayo wiki iliyopita rais Kikete alipinga madai yao na kusema kuwa mgomo waliokuwa wameuandaa ni batili.
Mnyika alizana kwa kuthibitisha maandamano yaliyokuwa yameandaliwa na wzee hao.Bonyeza hapa kumsikia . John Mnyika.

No comments:

Post a Comment