I made this widget at MyFlashFetish.com.

Thursday, May 20, 2010

JAPAN KUSAIDIA TANZANIA

Serikali ya Japan imesaini mkataba wa kuipatia Tanzania msaada wa mchele wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 14 kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la chakula nchini.
Utiaji saini wa msaada huo umefanywa mjini Dar es Salaam na Balozi wa nchi hiyo kwa niaba ya nchi yake na katibu mkuu wizara ya fedha nchini kwa niaba ya Tanzania.
Fedha zitakazopatikana baada ya kuuzwa mchele huo zinatarajiwa kutumika katika kuinua sekta ya kilimo.

No comments:

Post a Comment