I made this widget at MyFlashFetish.com.

Tuesday, May 11, 2010

ARUSHA

Magavana wa benki kuu tano wa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki wanakutana mjini Arusha ikiwa ni maandalizi ya nchi hizo kuwa na soko la pamoja na kuanza kutumia sarafu mpya.
Gavana wa benki kuu ya Tanzania Benerd Mbulu amesema wako katika majadiliano ya kuanisha aina ya fedha zitakazotumika katika jumuiya ya Afrika ya mashariki kuwa na sarafu moja itakayotumika kufanyia manunuzi na malipo ndani ya jumuiya hiyo.
Gavana Mbulu amesema benki kuu ya Ulaya imeombwa kufanya tathmini ambayo itaiwezasha jumuiya ya Afrika ya Mshariki kuwa na soko la pamoja.
Aidha ametaja baadhi ya hatua zilizofikiwa kuwa ni pamoja na kuoanisha baadhi ya sera za kifedha katika masuala ya riba, mfumko wa bei na masuala ya uchumi ambapo mafanikio yameshapatikana katika baadhi ya maeneo kama vile matumizi ya hundi

No comments:

Post a Comment