I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, May 10, 2010

MAKAMO WA RAIS WA TANZANIA DR. ALI MOHAMMED SHEIN AMESEMA


Makamo wa rais wa Tanzania Dr. Ali Mohammed Shein amesema serikali itaendelea na juhudi zake za kuhakikisha haki za wanawake na watoto zinalindwa na kukomesha vitendo vya udhalilishaji dhidi yao.
Dr. Shein ametoa kauli hiyo mjini Dar es Salaam katika maadhimisho ya miaka 20 ya chama cha wanasheria wanawake katika kipindi hichi ambacjho kimekuwa na vitendo vingi vibaya dhidi ya wanawake.
Makamo wa rais amewataka wadau mbali mbali kutetea haki za wanawake na watoto na huku serikali ikiendelea kukomesha vitendo vyote vya unyasaji dhidi yao

No comments:

Post a Comment