I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, May 7, 2010

C U F USHINDI NI LAZIMA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa kinamatumaini ya kushinda katika uchaguzi mkuu ujao.Akizungumza na Mwangaza wa Habari Mkurugenzi Uenezi na Mawasiliano ya Umma, Salum Bimani amesema kuwa kutokana na mazingira mazuri yaliyowekwa na muafaka uliofikiwa hivi karibuni wana matumaini makubwa ya kupata ushindi.
Kwa upande wa uchaguzi mkuu Bw Bimani amesema kuwa kesho baraza kuu la uongozi la chama hicho litakutana kesho kupanga ratiba ya uchaguzi mkuu pamoja na kuanza mchakato wa kura za maoni ya chama ndani ya chama pamoja kupitia kalenda ya uchukuaji wa fomu kwa wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi.

No comments:

Post a Comment