I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, June 2, 2010

WALIOVUNJIWA NYUMBA KWARARA ZANZIBAR WALALAMIKIA SERIKALI YA WILAYA KUWAITA WAVAMIZI.

Wananchi waliovunjiwa nyumba zao maeneo ya kwarara wamesikitishwa na kitendo cha kuitwa wavamizi katika maeneo hayo na kutakiwa kuacha kuendela na ujezi wa aina yeyote katika eneo hilo .
Akizungumza na Zenji Fm Radio kwa niaba ya wenziwe waliovunjiwa nyumba zao katika eneo hilo Salum Seif amesema wameitwa katika afisi ya mkuu wa wilaya ya magharib nakuambiwa kuwa niwavamizi hali ambayo imewasikitisha sana.
Wamesema kutokana na kauli hiyo ambayo haijawaridhisha wanamuomba Rais wa Zanzibar kuingilia kati suala hilo ili waweze kupata haki zao…

No comments:

Post a Comment