I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, June 2, 2010

MASHA AKIRI ULEGEVU WA ULINZI KATIKA VITUO VYA POLISI NCHINI AMBAKO KWASABABISHA WANANC HI KUCHUKUA SHERIA MIKONONI MWAO

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Laurent Mahsa amekiri kuwepo kwa ulegevu wa ulinzi katika vituo vya Polisi na kulitaka jeshi hilo kuimarisha ulinzi katika vituo vyote vya Polisi nchini .
Amesema hayo jijini Dar es salaam baada ya kuibuka kwa vitendo vya wananchi kujichukulia sheria Mikononi ikiwemo tukuio la hivi karibuni la kuteketezwa kwa kituo cha Polisi cha Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro na Kiela Mkoani Mbeya

No comments:

Post a Comment