I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, June 16, 2010

DR. SHEIN AKEMEA WANA CCM WANAOFANYA KAMPENI MAPEMA

Makamo wa rais Dr. Ali Mohammed Shein amewataka viongozi wa chama cha mapinduzi wa matawi na majimbo kuacha kuendesha shughuli za chama kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao bila ya kufuata utaratibu unaotakiwa.

Amesema misingi ya demokrasia katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao ni lazima ifuatwe ili kuondoakasoro zinazoweza kutokea katika kufanikisha uchaguzi huo.

Dr. Sheina amesema hayo wakati akizungumza na makatibu wa CCM wa mkoa mjini magharibi baada kumaliza ziara yake ya siku mbili ya kukagua matawi ya chama hicho na kuangalia majina ya wanachama katika madaftari ya chama hicho.

No comments:

Post a Comment