I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, June 16, 2010

PETROLI KUCHANGANYWA NA MAFUTA YA TAA NI AIBU KWA TANZANIA

Tatizo la uchanganyaji wa mafuta ya taa na petroli limeelezewa suala ni aibu kwa taifa.

Wakichangia hotuba ya bajeti ya serikali ya muungano mjini Dodoma baadhi ya wabunge wamehusisha tatizo hilo na tukio la hivi karibuni mkoani Kilimanjaro la baadhi ya gari za msafara wa rais kuzima baada ya kujazwa mafuta yanayosadikiwa kuchanganywa na mafuta ya taa.

Wabunge hao wamesema chanzo ni nafuu ya kodi katika mafuta ya taa ambaYo haIna maslahi kwa wananchi na kupendekeza unafuu huo uondolewe.

Miongoni mwa waliochangia bajeti hiyo ni mbunge wa Morogoro Dr. Omar Mzeru

No comments:

Post a Comment