I made this widget at MyFlashFetish.com.

Thursday, April 8, 2010

MARUFUKU SHOW ZA MAGARI ZANZIBAR


Jeshi la polisi katika mkoa wa kaskazini Unguja limepiga marufuku show za magari zinayofanyika Pwani Mchangani kwa madai ya kutokuwepo taarifa zozote za mashindano hayo.
Kamanda wa polisi wa mkoa huo Mselem Masoud Mtulia amesema taratibu za sheria za mchezo huo bado hazikufuatwa na kuwataka wandazi wa maonesho hayo wafuate sheria.
Akizungumza na Zenji Fm radio kamanda Mtulia mesema jeshi la polisi katika mkoa huo liko tayari kutoa ulinzi endapo wandalizi wa mashindano hayo watafuata sheria na tarabu za mchezo huo

No comments:

Post a Comment