I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, September 6, 2010

MWENYEKITI WA TLP AGUSTINE LYATONGA ADAI KUFANYIWA RAFU KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI

Mgombea ubunge jimbo la Vunjo ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour TLP, Agustine Mrema, amenusurika kujeruhiwa na kundi la vijana aliodai wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM.

Akizungumza na Zenji Fm radio Mrema amesema mbali ya kunusurika katika tukio hilo, gari lake liliharibiwa vibaya kwa kupigwa mawe na vioo vyote vya mbele vya gari yake vimepasuliwa.

Amesema tukio hilo, limetokea Jumamosi iliyopita katika eneo la njia panda la Himo, Moshi wakati Mrema alipokuwa akipita barabara kuu karibu na eneo ambalo mgombea ubunge wa CCM, Crispin Meela, alikuwa akifanya mkutano wa kampeni za kuomba kura

No comments:

Post a Comment