I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, June 2, 2010

TAASISI 200 IKIWEMO VYUO VIKUU VIWILI HATARINI KUFUTIWA UDHAMINI -SARIBOKO

Wizara ya katiba na sheria nchini imetangaza taasisi 200 ikiwemo vyuo vikuu viwili ambavyo vimo hatarini kufutiwa udhamini kutokana na kuchelewa kuwasilisha taarifa za udhamini.
Kaimu msimamizi mkuu wa udhamini kutoka wakala wa udhamini na ufilisi na usajili RITA Philip Sariboko amezitaja taasisi hizo ni pamoja na Chuo kikuu cha Mtakatifu Agostino cha Jijini Mwanza na Millenium cha Jijini Dar es salaam ambapo na taaisis nyengine 198 zimekiuka sheria ya unganishi wa wadhamini toleo la mwaka 2002 na kushindwa kutoa taarifa za mabadiliko katika taasisi hizo .
Katika taarifa yake Sariboko amezipa siku hizo siku 30 kuanzia Juzi taasisi hizo ziwezimetoa sababu za kutofutiwa udhamini

No comments:

Post a Comment