I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, May 21, 2010

DAR ES SALAAM

Waziri wa fedha na uchumi Mustapha Nkulo amekiri baadhi ya mataifa ya nchi wahisani wamepunguza kiasi cha dola za Marekani milioni 220 katika bajeti ya serikali ya mwaka ujao wa fedha.
Hata hivyo amesema tayari serikali imeshakopa dola za Marekani milioni 250 kutoka benki ya Stanlet kwa masharri nafuu ili kuepusha athari zinazoweza kutokea kutokana na upungufu wa fedha hizo.
Nkulo amesema hayo mjini Dar es Salaam katika mkutano wake na waandishi wa habari uliokuwa na lengo la kutolea ufafanuzi taarifa ya mataifa ya wahisani kusitisha msaada wao katika bajeti ijayo ya serikali

No comments:

Post a Comment