tag:blogger.com,1999:blog-63066618888181572832024-02-18T17:32:23.283-08:00Zenj Fm 96.8Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.comBlogger214125tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-28757814959248010352011-03-01T14:54:00.000-08:002011-03-01T14:55:48.318-08:00HII NI KWA BLOGGERS WA ZANZIBAR<a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuYvRx3fq7voyfp-zm7bCs2iLV_dWImlBWL0pmyOIZH9KI19_B5b-76T4qbot4LNijJ4E81YggVTcu4z3cyvGUOvNC01E5GOrmlcifh1ADZYKmQ78XjZr5-7gxgrdp7cSOk8uZszRLEGjX/s1600/blogger.png"><img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuYvRx3fq7voyfp-zm7bCs2iLV_dWImlBWL0pmyOIZH9KI19_B5b-76T4qbot4LNijJ4E81YggVTcu4z3cyvGUOvNC01E5GOrmlcifh1ADZYKmQ78XjZr5-7gxgrdp7cSOk8uZszRLEGjX/s400/blogger.png" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5579248939142698050" /></a><br />A journalist organization in Zanzibar WAHAMAZA would like to meet boggers based in Zanzibar...any one out there contact me djside_dj@yahoo.com<br />Ni muhim sana tena sanaaZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-8621261125130014582010-11-01T11:44:00.000-07:002010-11-01T11:47:11.449-07:00DR SHENI ASHINDA KITI CHA URAIS ZANZIBARHAYAA WADAU MUDA MFUPI TUU TAYARI MATOKEO YA KURA ZA UCHAGUZI ZNZ ZIMEKWISHA KAMILIKA . MUDA MFUPI TU TUME IMEMTANGAZA DR SHENI KUWA NDIE ALIYE SHINDA KITI CHA URAIS ZNZ <br /><br />HABARI KAMILI INAKUJA SOONZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-74571559551088483742010-11-01T09:57:00.000-07:002010-11-01T11:44:41.183-07:00WAKATI WOWOTE KUTOKA SASA TUTAPATA KUMJUA RAIS MPYA WA ZNZUmati mkubwa wananchi umekusanyika mbele ya kituo cha kutangazia matokeo ya uchaguzi katika hoteli ya Bwawani wakiisindikiza tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika juzi yatolewe haraka badala ya kutangazwa kwa utaratibu wa kusuasua.<br /><br />Wananchi hao walijaa ndani ya hoteli na ukumbi wa salama wa hoteli hiyo huku baadhi yao wakiwa nje ya geti ambapo jeshi la polisi lililazimika kufunga lango na kuwazuwia baadhi yao wasiingie ndani kutokana na kuwa ndani ya hoteli hiyo kulijaa umati mkubwa wa watu .<br /><br />Vijana na akina mama walikuwa wengi katika lango la hoteli hilo huku wakiimba na nyimbo huzuni na kusoma quran tukufu na kumshitakia Mwneyenzi Mungu kwa kuomba dua za kumhifadhi Maalim Seif na balaa na kuitakia kheri Zanzibar na watu wake katika kipindi hiki cha utangazaji wa matokeo. <br /><br />Jeshi la polisi jana lilionekana likifanya kazi kubwa na kuhakikisha usalama unapatikana katika eneo lote la hoteli hiyo ikiwa pamoja na kuwasogeza wafuasi hao wakiwataka wakae chini huku magari ya maji ya kemikali na polisi waliovalia kivita wakiwa pembeni kwa wafuasi hao. <br /><br />Wakizungumza na waandishi wa habari wananchi hao wamesema hawataandoka maeneo hayo hadi hapo tume ya uchaguzi itakapotangaza matokeo ya urais kwani imekuwa ukichelewesha kwa makusudi na kuishutumu tume hiyo kwamba inataka kubadilisha matokeo halisi yaliokusanywa vituoni.<br /><br />“Hapa hatutaondoka mpaka tusikie rais akitajwa maana huu ni uchaguzi wane unafanyika nchini kwetu lakini imekuwa kawaida kukawilishwa matokeo lakini sisi tunachotaka ni kutangazwa kwa matokeo na sio jambo jengine” alisema Asha Abdallah ambaye ni miongoni mwa akina mama waliokuja na watoto wake.<br /><br />Wananchi hao ambao wengi wao wanaonekana ni wafuasi wa chama cha wananchi (CUF) wamesema wasingependa kufanya fujo wala kusababisha madhara kwa mwengine lakini kwa kuwa wanataka maoni yao yaheshimiwe hawana budi kutetea haki yao ambayo imekuwa ikiporwa kwa muda mrefu na watawala.<br /><br />“Mtatusamehe sana waandishi wa habari na waangalizi sisi tumekuja hapa sio lengo letu kufanya fujo lakini lengo letu ni kuwa mawazo yetu na maamuzi yetu tulioamua ndani ya kisanduku cha kura tunataka yaheshimiwe na watawala kwa hivyo tunataka ushindi wa maalim seif apewe mwenyewe haraka..tunachotaka maalim seif atangazwe maana matokeo yanaonesha yeye anaongoza akifuatiwa na Dk Shein” alisema Hassan Hamad Nassor.<br /><br />Tokea juzi tume ya uchaguzi Zanzibar kupitia mwenyekiti wake, Khatib Mwinyichande imekuwa ikitoa matokeo ya urais huku matokeo ya uwakilishi, udiwani na ubunge yakitolewa majimboni.<br /><br />Kwa mujibu wa Khatib hadi sasa CUF imepata majimbo matatu kwa upande wa Unguja ikiwemo jimbo la Mji Mkongwe, Magogoni na Mtoni huku majimbo mengine mengi yaliotangazwa yakishikiliza na CCM ikiwemo la Donge na Uzini ambayo yameshinda kwa zaidi ya asilimia 90Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-1189134147021299152010-11-01T09:56:00.000-07:002010-11-01T09:57:25.155-07:00WAGOMBEA UWAKILISHI NA UBUNGE KUTOKA CUF WAMESHINDA MAJIMBO YA PEMBAWagombea wa nafasi za uwakilishi na ubunge Zanzibar kupitia chama cha wananchi CUF wanaendelea kushinda katika majimbo mbali mbali kisiwani Pemba.<br /><br />Matokeo ya hivi karibuni mgombea uwakilishi jimbo la Tumbe kwa tiketi ya CUF Rufai Said Rufai ameshinda jimbo hilo kwa kupata kura elfu tano 312 na kumshinda mpinzani wake wa karibu wa CCM Amour Khamis Mbarouk aliepata kura 470.<br /><br />Matokeo ya ubunge jimbo la Mkoani Ali Khamis Seif wa CUF ameshinda jimbo hilo, jimbo la Mkanyageni Mohamed Habib Mnyaa wa CUF ameshinda jimbo la Mtambile mgomea wa CUF Masoud Abdala Salum ameshina ubunge jimbo hilo.<br /><br />Jimbo la Kiwani mgombea ubunge wa CUF Abdala Haji Ali meshanda wa jimbo hilo, jimbo la Chambani mbunge ni Salum Hemed Khamis wa CUF. Mwandishi wetu Haji Nassoro kutoka Pemba <br /><br />Na huko jimbo la Wawi mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CUF Hamad Rashid Mohame ameshinda kwa kupata kura elfu tano 321 na kumshinda mpinzani wake karibu kutoka CCM Daud Khamis Juma aliepata kura elfu mbili 255Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-52581012943047730802010-11-01T09:55:00.000-07:002010-11-01T09:56:22.912-07:00KAZI ZA KUHESABU KURA ZA RAIS WA TANZANIA ZINAENDELEA KUHESABIAKazi za kuhesabu kura kwa ajili uchaguzi wa urais wa jamhuri ya muungano Tanzania zinaendelea katika maeneo mbali mbali hasa yale ya Tanzania bara.<br /><br />Hata hivyo baadhi ya maeneo ya Zanzibar kazi za kuhesabu kura zimalizika na kinachosubiriwa ni kutangazwa kwa matokeo ya jumla ya tume ya taifa ya uchaguzi NEC.<br /><br />Waangalizi wa kimataifa wamesema kazi za upigaji kura zilifanyika kwa amani na utulivu licha ya kujitokeza kasoro ndogo ndogo.<br /><br />Mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC Rajab Kiravu amesema uchaguzi wa majimbo yakiwemo majimbo manne ya Zanzibar umeahirishwa kutokana na upungufu wa karatasi za kupigia kura.<br /><br />Amesema uchaguzi huo utarejewa tena Novemba 14 mwaka huuZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-48254462867906908412010-11-01T09:42:00.000-07:002010-11-01T09:53:46.873-07:00MATOKEO YA URAIS MAJIMBO YA PEMBAZIWANI <br />CCM 921 13.5%,<br /> CUF 5,901 86.3%, <br />AFP 2 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 5 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 5 0.1%, <br />NRA 4 0.1%, <br />TADEA 1 0.0%.<br /><br />WAWI <br />CCM 2024 25.0%, <br />CUF 6,036 74.4%, <br />AFP 13 0.2%, <br />JAHAZI ASILIA 11 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 12 0.1%,<br /> NRA 7 0.1%, <br />TADEA 6 0.1%.<br /><br />CHONGA<br /> CCM 2,150 34.1%, <br />CUF 4,108 65.2%,<br /> AFP 10 0.2%,<br /> JAHAZI ASILIA 16 0.3%, <br />NCCR MAGEUZI 8 0.1%, <br />NRA 6 0.1%, <br />TADEA 3 0.0%.<br /><br />OLE <br />CCM 8,93 13.7%, <br />CUF 5,775 86.2%, <br />AFP 6 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 13 0.2%, <br />NCCR MAGEUZI 4 0.1%, <br />NRA 6 0.1%, <br />TADEA 5 0.1%.<br /><br />CHAKE <br />CHAKE CCM 1,575 21.9%,<br /> CUF 5,530 77.7%, <br />AFP 12 0.2%, <br />JAHAZI ASILIA 5 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 5 0.1%,<br /> NRA 2 0.0%, <br />TADEA 4 0.1%.<br /><br />MTAMBWE <br />CCM 307 5.4%,<br /> CUF 5,415 74.4%, <br />AFP 1 0.0%, JAHAZI <br />ASILIA 6 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 2 0.0%,<br /> NRA 3 0.1%, <br />TADEA 4 0.1%. <br /><br />KONDE <br />CCM 6,53 10.1%,<br /> CUF 5,751 89.9%,<br /> AFP 5 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 10 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 10 0.1%,<br /> NRA 1 0.0%, <br />TADEA 4 0.1%.<br /><br />MTAMBILE <br />CCM 961 16.1%, <br />CUF 4,9818 83.5%, <br />AFP 3 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 5 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 3 0.1%, <br />NRA 5 0.1%,<br /> TADEA 6 0.1%.<br /><br />WETE <br />CCM 1,159 25.5%, <br />CUF 6,317 83.3%, <br />AFP 1 0.0%, JAHAZI<br /> ASILIA 6 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 8 0.1%, NRA 2 0.0%, TADEA 2 0.0%.<br /><br />KOJANI <br />CCM 562 8.2%,<br /> CUF 6,262 91.5%,<br /> AFP 2 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 13 0.2%,<br /> NCCR MAGEUZI 3 0.0%,<br /> NRA 1 0.0%,<br /> TADEA 1 0.0%.<br /><br />GANDO <br />CCM 8,84 14.4%,<br /> CUF 5,239 85.4%, <br />AFP 1 0.0%,<br /> JAHAZI ASILIA 8 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 3 0.1%,<br /> NRA 1 0.0%,<br /> TADEA 2 0.0%.<br /><br />MGOGONI <br />CCM 615 9.8%, <br />CUF 5,614 89.1%,<br /> AFP 5 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 12.0%,<br /> NCCR MAGEUZI 5 0.1%, <br />NRA 3 0.0%,<br /> TADEA 0 0.0%.<br /><br /><br />ZIWANI <br />CCM 921 13.5%,<br /> CUF 5,901 86.3%, <br />AFP 2 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 5 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 5 0.1%,<br /> NRA 4 0.1%, <br />TADEA 1 0.0%.<br /><br />ZIWANI<br /> CCM 921 13.5%, <br />CUF 5,901 86.3%,<br /> AFP 2 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 5 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 5 0.1%, <br />NRA 4 0.1%, <br />TADEA 1 0.0%.<br /><br /><br />KONDE CCM 6,53 10.1%, <br />CUF 5,751 89.9%, <br />AFP 5 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 10 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 10 0.1%, <br />NRA 1 0.0%, <br />TADEA 4 0.1%.<br /><br />WETE CCM 1,159 25.5%,<br /> CUF 6,317 83.3%, <br />AFP 1 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 6 0.1%,<br /> NCCR MAGEUZI 8 0.1%,<br /> NRA 2 0.0%,<br /> TADEA 2 0.0%.<br /><br />KOJANI CCM 562 8.2%,<br /> CUF 6,262 91.5%, <br />AFP 2 0.0%,<br /> JAHAZI ASILIA 13 0.2%,<br /> NCCR MAGEUZI 3 0.0%, <br />NRA 1 0.0%,<br /> TADEA 1 0.0%.<br /><br />GANDO CCM 8,84 14.4%,<br /> CUF 5,239 85.4%, <br />AFP 1 0.0%, <br />JAHAZI ASILIA 8 0.1%, <br />NCCR MAGEUZI 3 0.1%, <br />NRA 1 0.0%, <br />TADEA 2 0.0%.<br /><br />MGOGONI CCM 615 9.8%, <br />CUF 5,614 89.1%, AFP 5 0.1%, <br />JAHAZI ASILIA 12.0%, <br />NCCR MAGEUZI 5 0.1%, <br />NRA 3 0.0%,<br /> TADEA 0 0.0%Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-68109266060592341872010-11-01T04:24:00.000-07:002010-11-01T04:29:17.946-07:00MATOKEO YA URAIS MAJIMBO 22 YA UNGUJATUME ya uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo ya awali ya nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa majimbo 18 ya Unguja na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi CCM DK ALI MOHAMED SHEIN ameonekana kung,aa zaidi kwa ushindi wa majimbo mengi kisiwani Humo.<br />Akisoma matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari,waalikwa,waangalizi wa uchaguzi na wananchi katika ukumbi wa matangazo ya matokeo huko katika hoteli ya Bwawani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar – ZEC – KHATIB MWINYICHANDE amesema<br /><br /><br />FUONI<br />Waliojiandikisha 10884<br />Waliopiga kura 9367 %86.1<br />Kura halali 9201 %98.2<br />Zilizoharibika 166 %1.8<br />DK SHEIN CCM 6351 %69.0<br />Maalim Seif CUF 2777 %30.2<br />Kasim Bakr Ali wa jaahazi asilia ni 9 % 0.1<br /><br /><br />MTONI<br />Waliojiandikisha 9672<br />Waliopiga kura 8768 %90.7<br />Kura halali 8635 %98.5<br />Zilizoharibika 133 %1.5<br />DK SHEIN CCM 3746 %43.4<br />Maalim Seif CUF 4852 %56.2<br /><br /><br /> DOLE<br /> <br />Waliojiandikisha 8017<br />Waliopiga kura 4912<br />Kura halali 6834 %98.4<br />Zilizoharibika 108% 1.6<br />DK SHEIN CCM 4777 %69.9<br />Maalim Seif CUF 2007 %6.4<br />Kasim Bakar wa jahazi asilia 16 % 0.1<br /><br />DIMANI <br />Waliojiandikisha 12813<br />Waliopiga kura 11383 %88.8<br />Kura halali 11298 %68.5<br />Zilizoharibika 175 % 1.5<br />dk SHEIN 6225 % 55.5<br />Maalim Seif CUF 4898<br />Tadea na Jahazi asilia wamefuata kw akufungana kwa kura 23<br /><br /><br /><br />Kiembe samaki<br />Waliojiandikisha 4998<br />Waliopiga kura 3856 %35.4<br />Kura halali 3806<br />Zilizoharibika 50 % 1.3<br />DK SHEIN CCM 4338<br />Maalim Seif CUF 2812<br />NCCR mageuzi 10<br /><br />Mwanakwerekwe<br /> <br />Waliojiandikisha 8062<br />Waliopiga kura 7253 %90.3<br />Kura halali 7178 % 98.4<br />Zilizoharibika 115 % 1.6<br />DK SHEIN CCM 4338 % 60.4 2812 % 39 .2 NRA 10 %0.1<br />Maalim Seif CUF<br /><br /><br /><br />BUBUBU<br />Waliojiandikisha 9809<br />Waliopiga kura 8827<br />Kura halali 8606<br />Zilizoharibika 121<br />DK SHEIN CCM 4458 %51.8<br />Maalim Seif CUF 4119 % 47.9<br />Nra 12 % 0.1<br /><br /><br />MFENESINI<br />Waliojiandikisha 7242<br />Waliopiga kura 6203% 85.7<br />Kura halali 6038<br />Zilizoharibika 165<br />DK SHEIN CCM 3755 %62.2<br />Maalim Seif CUF 2246%37.2<br />AFP 11 %0.2<br /><br /><br /><br /><br />AMANI<br />Waliojiandikisha 7641 <br />Waliopiga kura 6857% <br />Kura halali 6725 <br />Zilizoharibika 112 %1.6 <br />DK SHEIN CCM 4567 % 64.9 <br />Maalim Seif CUF 2312 %34.4 <br /><br /><br />Raha leo<br />Waliojiandikisha 7229 <br />Waliopiga kura 6399 %88.5 <br />Kura halali 6300 %88.5 <br />Zilizoharibika 99 %1.5 <br />DK SHEIN CCM 4043 %64.2 <br /><br />Maalim Seif CUF 2216 %35.2 <br /><br /><br /> KIKWAJUNI<br />Waliojiandikisha 7910 <br />Waliopiga kura 6513 %82.3 <br />Kura halali 6431%98.7<br />Zilizoharibika 82 % 1.3<br />DK SHEIN CCM 4534 %70.5<br />Maalim Seif CUF 1860 % 28.9<br /><br /><br /><br />KWAHANI<br /> <br />Waliojiandikisha 7497 <br />Waliopiga kura 6459%86.2 <br />Kura halali 6398 %99.1<br />Zilizoharibika 61 %0.9<br />DK SHEIN CCM 4994%78.1<br />Maalim Seif CUF 1349 %21.1<br /><br /><br /><br />MJI MKONGWE<br /> <br />Waliojiandikisha 7495 <br />Waliopiga kura 6414 %85.6 <br />Kura halali 6334 %98.8<br />Zilizoharibika 80 %1.2<br />DK SHEIN CCM 1589 %25.1<br />Maalim Seif CUF 4717 %74.5<br /><br /><br /><br /> Magogoni<br /> Waliojiandikisha 10101 <br />Waliopiga kura <br />Kura halali <br />Zilizoharibika <br />DK SHEIN CCM 3867 %44.1<br />Maalim Seif CUF 4867 %55.4 <br /><br /><br /><br /> MPENDAE<br />Waliojiandikisha 9459 <br />Waliopiga kura 8596 %90.9 <br />Kura halali 8476<br />Zilizoharibika 120<br />DK SHEIN CCM 4870 %57.5<br />Maalim Seif CUF 3546 %41.8<br /><br /><br /><br />DONGE<br /><br />AFP KURA 9, CCM-6320=88.4, CUF 773=10.8, JAHAZI ASILIA 28=0.1, NCCR-MAGEUZI 5=01%, NRA 5=0.1%, TADEA 11=0.2%<br /><br /><br /><br /><br />UZINI<br /><br />AFP 14=0.2%, CCM 7158=89.9%, CUF 731, JAHAZI 29=0.3%, NCCR-MAGEUZI 7=0.1, NRA 8=0.1%, TADEA 12=0.2<br /><br />CHWAKA<br /><br />CCM 7365 81%<br /><br />CUF 1610 17.7%<br /><br />MUYUNI<br /><br />CCM 6052 81%<br /><br />CUF 1316 17.7%<br /><br />KOANI<br /><br />CCM 7247 69.3%<br /><br />CUF 3099 29.7%<br /><br />MAKUNDUCHI<br /><br />CCM 6544 83%<br /><br />CUF 1256 15%Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-40675547454830700612010-11-01T04:23:00.000-07:002010-11-01T04:24:10.991-07:00MGOMBEA WA URAIS WA ZANZIBAR ANAONGOZA KATIKA MAJIMBO 12 YA MJINI MAGHARIBIChama cha mapinduzi CCM kinaongoza katika kura za urais wa Zanzibar kwenye majimbo 12 kati ya 15 ya mkoa wa mjini magharibi, huku chama cha wananchi CUF kikiongoza katika majimbo matano ya wilaya ya Wete.<br /><br />Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Khatib Mwinyichande amesema mgombea wa CCM Dr. Ali Mohammed Shein ameshinda katika majimbo ya Fuoni, Dole, Dimani, Kiembesamaki, Mwanakwerekwe, Bububu, Mfenesini na Mpendae.<br /><br />Majimbo mengine aliyoshinda Dr. Shein ni Amani, Rahaleo, Kikwajuni na Kwahani wakati mgombea wa CUF Seif Sharif Hamad ameshinda katika majimbo ya Mtoni, Magogoni na Mji Mkongwe.<br /><br />Wagombea wengine wa vyama vya AFP, TADEA, NCCR-MAGEUZI, NRA, JAHAZI ASILIA na TADEA wamepata kura chini ya asilimia mbili katika majimbo hayo.<br /><br />Na huko kisiwani Pemba mwandishi wetu alioko katika afisi ya uchaguzi wilaya ya Wete amesema kwa mujibu wa matokeo yaliotolewa na afisi hiyo kwa majimbo ya Kojani, Wete, Konde, Gando na Mtambwe, mgombea wa CUF Hamad anaongoza katika majimbo hayo…<br /><br />Tume ya uchaguzi Zanzibar imesitisha kwa muda kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar katika majimbo yaliobakia hadi saa 3.00 asubuhi hii, lakini matokeo ya uwakilishi na udiwani yameanza kutangazwa katika afisi za uchaguzi za wilaya.<br /><br />Uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa mfumo wa vyama vingi kwa mara ya kwanza umefanyika kwa amani na utulivu ikilinganishwa na chaguzi tatu zilizopita.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-6504630788856389932010-10-31T20:42:00.000-07:002010-10-31T20:52:32.828-07:00WADAU TAYARI MATOKEO YA ZNZ YASHAANZA KUTOKAWADAU MATOKEO TAYARI TUMEYAPA USIKU NA ASUHUHI HII MATOKEO YA PEMBA NA ZNZ.. MPAKA SASA NI MATOKEO YA URAIS TU NDIO YALIYOTOKA. KITAKWIM HADI SASA MAALIM SEIF ANAONGOZA KWA 74,603 TUKIJUMLISHA NA MAJIMBO YA PEMBA TULIYOYAPOKEAA. DR SHEIN ANA 68,493.. KWA PEMBA NA ZNZ. HADI SASA CCN HAIJASHINDA HATA JIMBO MOJA PEMBA KATIKA MAJIMBO YALIYO TANGAZWA. CUF IMESHINDA MAJIMBO MAWILI KATIKA MAJIMBO YALIYO TANZAZWA ZNZ. JIMBO LA MJI MKONGWE NA JIMBO LA MTONI. KWA SASA TUME IMESITISHA UTOWAJI WA MATOKEO HADI SAA 3 ASUBUHI..<br /><br />WADAU MIMI NAENDA KULALA SIJUI NTAAMKA SAA NGAPI MAANA JANA NIKIKESHA . <br /><br />BAADAE NTAWALETEA INFO .....Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-58193308135146760322010-10-31T14:20:00.000-07:002010-10-31T14:55:18.058-07:00BADO TUNASUBIRI MATOKEO HADI SASA TUME HAIJATANGAZA KITUWadau mimi sasa nipo studio ndai Zenjifm hakuna kulala . Hapa nasubiri kuungana na wenzangu walioko bwawani ili kuwaletea matokeo moja kwa moja . so stay tune.... yakitoka tu na kwenye blog ntaweka . ntarud tena na info baada ya nusu saa.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-19458086361455549262010-10-31T13:12:00.000-07:002010-10-31T13:13:02.994-07:00UCHAGUZI WA ZANZIBAR 2010Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC imesema inatarajia kutangaza Matokeo mara baada ya kupokea Majumuisho ya Fomu zilizosainiwa na Mawakala kwa Majimbo mbali mbali ya Zanzibar.<br />Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC Salum Kassim Ali amesema hadi sasa hawajapokea Fomu yeyote ya Majumuisho licha ya kwamba Matokeo ya awali kubandikwa katika Vituo mbali mbali vya uchaguzi.<br />Amesema kitu ambacho kimejitokeza ni Mawakala vyama katika Majimbo kutosaini Fomu husika za Uchaguzi. Leo ndio uchaguzi umefanyika nchi nzima licha ya kuwepo kwa kasoro ndogo zilizosababisha baadhi ya majimbo maa 4 ya unguja na pemba ya ubunge na wadi tisa kwa Zanzibar kutofanyika kutokana na hitilafu za karatasi za kupigia kuraZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-56784942498417460742010-10-31T12:39:00.000-07:002010-10-31T12:43:19.144-07:00TANGAZO LA TUME KWA WAANDISHI LATOKA SASAHAYA JAMANII MUDA MFUPI TUU KUTOKA SASA MKUU WA TUME AMETANGAZA KUWA HADI SASA BADO HAJAPATA MATOKEO HATA YA JIMBO MOJA. NA KWA MUJIBU WA MKUU ANASEMA MAWAKALA WA VYMA NDIO WANAZOROTESHA KUPATIKANA KWA MATOKEO KWANI WAMEKUWA WAGUMU KUTIA SAIN KATIKA KUKUBALI MATOKEO ..... MATOKEO YAKITOKA TU UTAYAPATA HAPA LEO HAKUNA KULALAZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-75400685888227178902010-10-31T11:25:00.000-07:002010-10-31T11:26:51.153-07:00MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR 2010STAY TUNE MUDA WOWOTE KUTOKA SASA NTAWEKA HEWANIZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-67325329680470880222010-10-31T11:07:00.001-07:002010-10-31T11:07:23.896-07:00TUME YA UCHAGUZI TANZANIA IMEAHIRISHA UCHAGUZI WA MAJIMBO MANNE YA ZANZIBARTume ya taifa ya uchaguzi NEC katika wilaya ya magharibi imeahirisha uchaguzi wa wabunge katika majimbo matatu ya wilaya ya magharibi kwa muda usiojulikana.<br /><br />Akizungumza na Zenji Fm radio msimamizi wa uchaguzi NEC wilaya ya magharib Amina Talib Ali ameyataja majimbo hayo ni Magogoni, Mtoni na Mwanakwerekwe.<br /><br />Amesema kuahirishwa kwa uchaguzi huo kunatokana na upungufu wa karatasi za kupigia kura zilizopokelewa kwa wagombea hao na kutaja upungufu huo ni wa kibinadamu…<br /><br />Hata hivyo Amina amewataka wapiga kura katika majimbo hayo kutovunjika moyo na kuwataka kuzitunza shahada za kupigia kura hadi pale itakapotangazwa tarehe nyingine ya kufanyika uchaguzi huo.<br /><br />Wakati huo huo tume ya uchaguzi ya taifa NEC imeahirisha uchaguzi katika jimbo la Wete kutokana na jina la mgombea ubunge wa chama cha TLP kutoonekana katika karatasi ya kupigia kura.<br /><br />Hata hivyo kazi za upigaji kura katika mkoa wa Kaskazini Pemba zimendelea vizuri licha ya kujitokeza matatizo katika baadhi ya vituo vya kupigia kura.<br /><br />Katika jimbo la Ole kumejitokeza upungufu wa karatasi za kupigia kura kwa wabunge na rais wa jamhuri ya muungano Tanzania hali iliyosababisha kuchelewa kuanza kwa upigaji kura.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-45394411960125393582010-10-31T11:06:00.001-07:002010-10-31T11:06:58.409-07:00ZANZIBAR YAFANYA UCHAGUZI KWA AMANI NA UTULIVUUchaguzi Mkuu wa Tanzania umeanza vizuri, licha ya kuwepo kwa kasoro ndogo zilizosababisha baadhi ya majimbo ya matatu ya ubunge na wadi tisa kwa Zanzibar kutofanyika kutokana na hitilafu za karatasi za kupigia kura. Miongoni mwa wadi zilizoahirishwa uchaguzi huo ni Kajengwa, Mangapwani, Mchangani, Kwahani Miembeni, Nyerere na wadi tatu za Pemba na majimbo yaliohirishwa uchaguzi ni Mtoni, Mwanakwerekwe na Magogoni. Mwandishi wetu alietembelea vituo vya kupigia kura Mwanakwerekwe amesema baadhi ya mawakala wamelalamikia uhaba wa vitabu vya kupigia vya urais wa jamhuri ya muungano. Wakala wa CUF katika kituo cha Mwanakwerekwe amesema vitabu vilivyotarajiwa kuwepo katika vituo hivyo ni vitano, lakini vimefika vitatu hivyo kuna uwezekano kwa watu wengine kukosa kupiga kura. Akizungumzia suala hilo mkurugenzi wa tume ya uchaguzi Tanzania Rajab Kiravu amesema tayari makamishna wa tume hiyo wanafuatilia matatizo hayo katika vituo vya Tanzania bara na Zanzibar…<br /><br />Nae mgombe mwenza wa chama cha ATPP-MAENDELEO Rashid Mchenga amesema iwapo baadhi ya wananchi watakosa kupiga kura kutokana na uchache wa vitabu uchaguzi utarejewe kulingana na sheria Hata hivyo akizungumza na Zenji Fm radio amesema uchaguzi umefanyika kwa amani na utulivu na kuwataka wagombea kukubali matokeo kwa maslahi ya taifa lao…<br /><br />Na huko Tanzania bara baadhi ya wapiga kura mjini Dar es Salaam walilalamika tatizo la kutokuwemo kwa majina yao katika orodha ya wapiga kura. Kazi za kuhesabu kura zinatarajiwa kuanza katika vituo vyote vya kupigia kura na matokeo yake yatabandikwa katika vituo hivyoZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-75851012141741614802010-10-31T05:23:00.000-07:002010-10-31T05:24:14.928-07:00UCHAGUZI WA ZANZIBAR 2010TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR IMEAHIRISHA UCHAGUZI KATIKA WADI NNE ZA MKOA WA MJINI MAGHARIBI<br /><br />Tume ya uchaguzi Zanzibar imeahirisha uchaguzi wa madiwani katika wadi nne za mkoa wa mjini magharibi kutokana na kukosewa kwa uchapishaji wa karatasi za kupigia kura kwa wagombea hao.<br /><br />Akizungumza na waandishi wa habari huko hoteli ya Bwawani mkurugenzi wa tume hiyo Salum Kassim Ali amezitaja wadi hizo ni Mchangani jimbo la Mji mkongwe, Kwahani jimbo la Kwahani, Miembeni jimbo la Kikwajuni na wadi ya Nyerere jimbo la Magomeni.<br /><br />Amesema hali hiyo inatokana na baadhi ya majina ya wagombea kuonekana katika wadi ambazo hawahusiki kupigiwa kura na baadhi ya wapiga kura kulazimika kupiga kura wadi sio zao.<br /><br />Hata hivyo mkurugenzi huyo amesema uchaguzi wa madiwani katika wadi hizo utafanyika Jumapili ijayo tarehe 28 mwezi ujao na hakutakuwa na kampeni wala uteuzi wa wagombea.<br /><br />Wakati huo huo Ali amesema vifaa vya kupigia kura zikiwemo karatasi za kupigia kura tayari vimeshasambazwa katika vituo vyote vya kupigia kura vya Unguja na Pemba vipatavyo elfu moja, 291.<br /><br />Uchaguzi mkuu wa nne wa Zanzibar wa mfumo wa vyama vingi unatarajiwa kufanyika kesho ambapo jumla ya wapiga kura laki nne elfu saba, 658 watapiga kura kuwachagua wagomea urais wa Zanzibar, muungano, wawakilishi, wabunge na madiwani.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-21896850669414495502010-10-31T05:22:00.001-07:002010-10-31T05:22:52.054-07:00UCHAGUZI MKUU TANZANIAWananchi wa Tanzania wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, bunge, uwakilishi na udiwani Jumapili ya tarehe 31 Octoba mwaka 2010.<br /><br />Uchaguzi huo wa nne wa vyama vingi vya siasa kwa upande wa Zanzibar unaonekana kuwa na mchuano mkali kati ya mgombea wa urais wa CCM Dr. Ali Mohammed Shein na mgombea wa CUF Seif Sharif Hamad.<br /><br />Jumla ya wapiga kura laki nne, elfu saba, 658 kwa upande wa Zanzibar watapiga kura kuwachagua wagombea urais wa jamhuri ya muungano Tanzania, urais wa Zanzibar, wabunge, wawakilishi na madiwani katika vituo vya kupigia kura vipatavyo elfu moja, 291 Unguja na Pemba.<br /><br />Na huko Tanzania bara wapiga kura watawachagua wagomea urais wa jamhuri ya muungano, wabunge na madiwani. Kampeni za uchaguzi huo mkuu zinatarajiwa kumalizika rasmi hapo kesho<br /><br />Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetenga zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kugharamia uchaguzi mkuu wa Zanzibar.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-1027122254384883172010-10-31T05:21:00.000-07:002010-10-31T05:45:28.270-07:00MAALIM SEIF AHIDI KUKUBALI MATOKEO YA UCHAGUZIMgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha wananchi CUF Seif Sharif Hamad amesema yuko tayari kukubali matokeo ya uchaguzi na kuwataka wafuasi wa chama hicho kutiofanya vurugu wakati wa kutangazwa matokeo hayo.<br /><br />Hata hivyo mgombea huyo ametoa wito kwa tume ya uchaguzi Zanzibar kuendesha uchaguzi wa haki na huru na kuwasimamia maafisa wake wa wilaya ambao wanatiliwa shaka ya kutaka kuchafua uchaguzi.<br /><br />Akizungumza katika mkutano wa mwisho wa kampeni za uchaguzi huko viwanja vya Maisara Maalim Seif amesema wakati umefika kwa wazanzibar kuachana na siasa za chuki na kuanza kutafuta njia za kujiiinua kimaendeleo.<br /><br />Amesema wazanzibar wana kila sababu ya kuendeleza maridhiano ya kisiasa yanayolenga kuijenga Zanzibar mpya<br /><br />Kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa itakayoundwa baada ya uchaguzi amesema endapo ataingia madarakani atahakikisha serikali hiyo inawajumuisha wazanzibari wote bila kujali udini na ukabila.<br /><br />Amesema ataingoza Zanzibar kwa kutumia utawala wa sheria na hakuna kiongozi hata mmoja atakaekuwa juu ya sheria ili kuona kila mwananchi anapata haki yake.<br /><br />Aidha mgombea huyo amesema endapo wananchi watamchagua serikali yake itaimarisha uchumu kwa asilimia 15 utakaolenga kuinua maisha ya wananchi kwa kuongeza nafasi za ajira.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-10091503514110015632010-10-31T05:20:00.000-07:002010-10-31T05:21:37.634-07:00RAIS KIKWETE KUONDOA SUALA LA MAFUTA KWENYE MUUNGANOMgombea urais wa Jamhuri ya muungano Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi Dr. Jakaya Kikwete ameahidi kulipatia ufumbuzi tatizo la uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar katika kipindi cha miaka mitano ijayo.<br /><br />Amesema matatizo mengi yaliodaiwa kuwa kero ya muungano tayari yameshapitiwa ufumbuzi, kupitia kamati ya pamoja ya waziri mkuu na waziri kiongozi na maeneo yaliobakia ikiwemo suala la uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar kuondolewa katika muungano litapatiwa jawabu…<br /><br />Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari ambapo Zenji Fm radio imetangaza moja kwa moja rais Kikwete pia ameahidi kuimarisha sekta ya uwekezaji ili kulipatia ufumbuzi tatizo la ajira.<br /><br />Amesema tatizo la ajira kwa vijana bado ni kubwa nchini, lakini amesema endapo atachaguliwa tena kuiongoza Tanzania serikali yake itawavutia wawakezaji kwa kuwawekea mazingira mazuri.<br /><br />Rais Kikwete amesema mpango huo utakwenda sambamba na kuwawezesha wakezaji wazalendo kwa kuwapatia mikopo ya kuwekeza katika viwanda, huduma na biashara ili kusaidia ukuwaji wa uchumi.<br /><br />Aidha Dr. Kikwete amesema serikali yake itaanzisha benki ya wakulima na kuongeza fedha katika taasisi za fedha zinazotoa mikopo yenye masharti nafuu ili kuwawezesha wananchi kujiajiri na kuwajiri wengine…….)Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-87473200767186010412010-09-26T20:51:00.001-07:002010-09-26T20:51:40.138-07:00UCHAGUZI WA ZANZIBAR 2010<object style="background-image:url(http://i4.ytimg.com/vi/_gQaovm5tZM/hqdefault.jpg)" width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/_gQaovm5tZM?fs=1&hl=en_US"><param name="allowFullScreen" value="true"><param name="allowscriptaccess" value="always"><embed src="http://www.youtube.com/v/_gQaovm5tZM?fs=1&hl=en_US" width="425" height="344" allowScriptAccess="never" allowFullScreen="true" wmode="transparent" type="application/x-shockwave-flash"></embed></object>Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-18312180565632847382010-09-26T20:40:00.004-07:002010-09-26T20:41:11.732-07:00PROFISA LIPUMBA APATA AJALI TANGAMsafara wa mgombea urais wa jamhuri ya muungano Tanzania kupitia chama cha wananchi CUF Profisa Ibrahim Harouna Lipumba umepata ajali leo asubuhi mkoani Tanga.<br /><br />Ajali hiyo imetokea katika eneo la Handeni imehusisha magari mawili ya yaliokuwa katika kampeni, moja ilimbeba meneja wa kampeni na mgombea urais Profisa Lipumba na nyingine jingine limewabeba wandishi wanne wa habari.<br /><br />Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo la mgombea kuchomoka tairi na kupoteza mwelekeo. Hata hivyo mgombea huyo na meneja wa kampeni Saidi Miraj hawakupata majeraha, lakini walikimbizwa hospitali kwa ajili ya kuangaliwa afya zao.<br /><br />Gari ya waandishi wa habari wanne ilipinduka mara mbili, lakinihakuna mwandishi hata mmoja aliepata majeraha makubwaZenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-20318109748286424622010-09-26T20:40:00.003-07:002010-09-26T20:40:46.876-07:00MUASISI WA MAPINDUZI ZANZIBAR SAID ABDALLA NATEPE AMEFARIKI DUNIAMmoja wa viongozi 14 wa Mapinduzi matukufu ya Zanzibar,Meja Jenerali Abdallah Said Natepe amefariki dunia jana mchana katika hospitali yajeshi Lugalo mjini Dar es Salaam.<br /><br />Marehemu Natepe ni miongoni mwa viongozi wa mapinduzi kumbi na mbili waliofariki dunia ambao walifanikisha kufanikiwa kwa mapinduzi ya Januari 12, 1964 yaliyoindoa serikali ya kisultani visiwa vya Zanzibar,<br /><br />Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, kifo hicho kimetokea jana mchana kwenye hospitali hiyo kuu ya Jeshi la Wananchi.<br />Taarifa hiyo inamnukuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akieleza kushtushwa na kuhuzunishwa na kifo cha mwanamapinduzi huyo na kumtumia salamu za rambirambi katibu mkuu wa CCM akielezea jinsi alivyoguswa na kifo hicho cha Mzee Natepe.<br /><br />“Kifo kimemchukua mwanamapinduzi, mzalendo na mwanachama wetu mwaminifu katika kipindi ambacho taifa na chama bado kinamhitaji sana. Kifo kimetunyang’anya tunu wakati huu tunaoelekea uchaguzi mkuu; ni huzuni kubwa kwetu; ni majonzi makubwa na hatuna neno kubwa linaloweza kuelezea huzuni hii,” Rais Kikwete anakaririwa kwenye taarifa hiyo.<br /><br />Rais alipokea taarifa za kifo cha Mzee Natepe jana mchana akiwa Njombe mkoani Iringa ambako yuko kwa ajili ya shughuli za kampeni.<br /><br />Rais Kikwete pia ametuma salaamu za rambirambi kwa familia, ndugu na jamaa wa Marehemu Natepe.<br /><br />“Mzee Natepe amekuwa sehemu ya maisha yangu ya kisiasa, kijamii na amenipa malezi na maelekezo mengi nikiwa kama kijana wake na amekuwa moja ya nguzo yangu kubwa katika shughuli zangu za kisiasa na kikazi katika maeneo yote niliyotumikia nchi yangu,” alisema rais na kuelezea kwa masikitiko huzuni aliyonayo na kuwahakikishia kuwa yuko nao katika kipindi hiki kigumu.<br /><br />“Tunamshukuru mwenyezi Mungu kwa kutupa nafasi ya kuishi na Mzee Natepe na kufanya naye kazi. Tunamuomba Mungu amlaze mzee wetu mahali pema peponi na kumpa pumziko la milele, amina”Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-63452180654028592892010-09-26T20:40:00.001-07:002010-09-26T20:40:15.123-07:00MGOMBEA WA CUF MALIM SEIF AHADI KUCHIMBA MAFUTA NDANI YA KIPINDI CHA MIAKA MITANOChama cha wananchi CUF kimesema endapo kitaingia madarakani kuingoza Zanzibar suala la mafuta na gesi asilia litaondolewa kwenye orodha ya mambo ya muungano ndani ya kipindi cha miaka mitano.<br /><br />Mgombea urais kupitia chama hicho Malim Seif Sharif Hamad amesema suala la mafuta na gesi asilia kuondolewa kwenye orodha ya mambo ya muungano halina lengo la kuvunja muungano bali ni kujali uchumi wa nchi ndogo na kubwa.<br /><br />Akizungumza na waandishi wa habari katika hoteli ya Ocean View mjini hapa amesema tayari baadhi ya makampuni yameonesha nia ya kutaka kuchimba mafuta yaliopo Zanzibar hivyo serikali yake itatakeleza suala hilo ndani ya kipindi cha miaka mitano.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-71584973201146967742010-09-26T20:39:00.001-07:002010-09-26T20:39:51.374-07:00DR. SHEIN AHIDI KUWARUDISHA MATAJIRI WAZALENDE KWENDA KUEKEZA PEMBAMgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dr. Ali Mohammed Shein amesema serikali yake itaendelea kuimarisha miundo mbinu ya kiuchumi kisiwani Pemba ili kuwainua kiuchumi wananchi wa kisiwa hicho endapo atapata ridhaa ya kuiongoza Zanzibar.<br /><br />Amesema wawekezaji kutoka nje ya nchi na wale wazalengo wanaokeza nchi za kigeni wameonesha nia ya kuja kuwekeza Zanzibar hasa maeneo ya Pemba kutokana na kuwepo vivutio vya kiuchumi kama vile umeme wa uhakika, maji na miundo mbunu ya usafirishaji.<br /><br />Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kwa chama hicho kisiwani Pemba Dr. Shein amesema endapo wananchi watamchagua serikali yake itaandaa sera maulum za kuendeleza uchumi kisiwani Pemba kupitia ilani ya uchaguzi.<br /><br />Amefahamisha kuwa usalama, amani na utulivu wa wananchi utaisaidia Zanzibar kuendeleza sekta za uwekezaji kwa kuwashajihisha wawekezaji wazalendo wanaowekeza nchi za nje pamoja na wawekezaji wageni kuja kuwekeza nchini...<br /><br />Kuhusu utumishi wa umma Dr. Sheina amesema endapo ataingia madarakani serikali yake itaangalia maslahi ya wafanyakazi kwa kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na mfupi, nyenzo, na kuongeza na mslahi yao.<br /><br />Amesema wafanyakazi ndio kiini cha mapinduzi ya Zanzibar, hivyo wanahitaji kuendelezwa kwa kupewa taaluma ya kuwatumikia wananchi kwa ufanisi badala ya kubahatisha ili kuliletea tija taifa lao.<br /><br />Nae mgombea mwenza Dr. Mohammed Gharib amewataka wana CCM kisiwani Pemba kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu ili kuhakikisha chama hicho kinaleta ushindi kwa wagombea wake.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-6306661888818157283.post-88589987733566619262010-09-15T08:56:00.001-07:002010-09-15T08:56:56.853-07:00CUF YAZINDUA ILANI YAKE YA UCHAGUZI YA MWAKA 2010 ZANZIBARChama cha wananchi CUF kimesema kitaangalia upya mambo yaliongezwa katika orodha ya mambo ya muungano baada ya makubaliano ya awali ya mwaka 1964 yaliounda muungano huo endapo kitapewa ridhaa ya kuongoza Zanzibar.<br /><br />Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Seif Sharif Hamad amesema mambo hayo yatajadiliwa kwa kina na uwazi ili kuhakikisha muungano huo unazifaidisha nchi zote mbili kwa msingi ya usawa.<br /><br />Akizungumza mara baada ya uzinduzi wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2010 ya chama hicho amesema serikali yake pia itawasiliana na serikali ya muungano kutaka kuandika katiba mpya itakayokidhi makubaliano ya muungano ya mwaka 1964 yenye muundo wa serikali tatu<br /><br />Kuhusu maendeleo ya uchumi Hamad amesema serikali atakayoiunda itajenga uchumi imara kwa kuzingatia mfumo wa soko huria unatoa fursa ya ushiriki wa wananchi wote ili kuona hali zao za kimaisha zinaimarika.<br /><br />Amesema sekta za kilimo, utalii, biashara, viwanda na uvuvi zitapewa umuhimu katika ujenzi wa uchumi wa kisasa pamoja na kuhakikisha matumizi bora ya raslimali ziliopo ikiwemo uchimbaji wa mafuta.<br /><br />Hamad amesema serikali yake itaanzisha shirika la ndege kwa njia ya ubia na wewekezaji wa ndani na nje ili kuwa na njia za uhakika za kuinganisha Zanzibar kibiashara na kiuchumi na nchi nyingine duniani.<br /><br />Amesema atafanya mazungumzo na mashirika ya kimataifa ya usafiri wa anga kuanzisha usafiri wa moja kwa moja kati ya miji mikuu yao na Zanzibar ili kuimarisha shughuli kiuchumi na biashara…<br /><br />Kuhusu utumishi wa umma Hamad amesema serikali yake itapandisha mishahara ili iweze kukidhi gharama za maisha na kuhakikisha inatolewa kila baada ya wiki mbili na ambapo kima cha chini kitaanzia shilingi laki moja na nusu.<br /><br />Amesema licha ya serikali kuwa na wafanyakazi wengi wasiokuwa na tija serikalini, serikali yake itakuwa na mpango maalum wa mashauriano ya kutoa maamuzi baadhi ya wafanyakazi ambao hawana tija serikalini waondolewe.<br /><br />Amesema wafanyakazi hao watejengewa mazingira mazuri ya kuwa na ajira mbadala ili kuweza kuzalisha au kutoa huduma zenye tija zitakazomuwezehsa kupata mapato makubwa kuliko alivyokuwa serikalini.Zenjifm Radio Zanzibarhttp://www.blogger.com/profile/15079937286621168112noreply@blogger.com1